acha nikae kimya

Singer:diamond platnumz

mama ananiambia nasibu mi ni

mtu mzma nawe ndo nakutegemea

yanayotokea jaribu kupiga kimya

usidiriki ata kuongea

mara nasikia vya aibu konda gwajima

eti ugomvi umekolea

kuchunguza karibu ni binti mmoja

kwa mitandao anachochea

najariibu kunyamaza ila moyo hautakii

unanambia eti simba japo unguruma uisemee hakii

ooh najaribu kunyamaza ata lizer ataki yooh

anasema walau nena kidogo hiih

na mashabiki dangote

wananambia mbona husemi chochote ah

si uko nao siku zote

ama ulezi unafanya uogope ah

na media pande zote

wanalalama kiongozi atoke eh

nchi inaingia matope

niende wapi na mi mtoto wa wote

yaani lawama

wacha nikae kimya

mmh nisiongee

ooh ninyamaze mimi

nisiseme

mama kaniambia

ooh nifunge mdomo

mie bado mdogo sana

nisiseme

mmh ni mengi majaribu

najitahidi epuka yasije nicost

japo mengine swadakta mengine hayana maana

rafiki kipenzi wa karibu

hata nyimbo yake sikuweza ipost

ila alivokamatwa iliniumiza sana

mitandaoni kila kona

uongo na ukweli unashonwa

kila nyumba inanong'ona

ah oh tanzania

mara kimbembe dodoma

bunge upinzani wamegoma

juzi akapotea na roma

ohh tanzania

najaribu kunyamaza

makame hataki yooh

ananiambia walau nena kidogo

nyumbani nafungua gate

niende kwa mangi nunua supergate eh

napewa za chini ya carpet

kuna radio imevamiwa eti eh

napita kwenye

nakuta rundo la watu eh

badala ya kutafuta cent

wanabishana tu mambo ya vyeti

wacha nikae kimya

ooh nisiongee

ninyamaze kabisa

eh! ulimi koma!

usije kunipoonza!

nifunge bakuli langu!

nikojoe nikalale!

mi bado mdogo sana

mama kaniambia

oh najiuliza

najiuliza

tunakwenda wapi

kila siku maneno

ah tuacheni jamani

mi na we ni taifa moja

kambarage baba mmoja

sa tofauti za nini tushikamane tukaijenge tanzania