gongo la mboto
Singer:diamond platnumz
poleni wale usiku hatujalala
wale mabomu yamewapa madhara
yalosababisha maafa viro hasara
mpaka sasa hawana pakulala
watoto bado njaa hawajala
tuzidishe uda na maombi nyingi sala
poleni wale usiku hatujalala
wale mabomu yamewapa madhara
yalosababisha maafa viro hasara
mpaka sasa hawana pakulala
watoto bado njaa hawajala
tuzidishe uda na maombi nyingi sala
eh! mola ona wanao tunakwenda
eh! tunakwenda tunakwenda
kila siku matatizo abba tushike mikono
walosema idadi ya watu kadhaa
shida za maisha si usiku si mchana
na majanga yanazidi twandama
kuhusu maidha si usinu si mchana
na majanga yanzidi twandama
poleni wale usiku hatujalala
wale mabomu yamewapa madhara
yalosababisha maafa viro hasara
mpaka sasa hawana pakulala
watoto bado njaa hawajala
tuzidishe uda na maombi nyingi sala
enyi watanzania wazalendo wa nchii hii
akuambiaye usikombe mboga siku zote anataka ushibe
nani anasema usiku mmoja hauozeshi nyama
huyo tumegeukie na kumtazame mara mbili maana ametudanganya
poleni sana gongo la mboto
ingekua hadithi ningesema 'paukwa'
ningekua mwana siasa ningesimama jukwaani nakuwaambia nichagueni mimi
lakini hizi ni roho za watu haya ni maisha
poleni sana gongo la mboto ndugu zangu watanzania
apasuaye nguo lazima awe fundi wa kushona
kilichotokea mbagala siku ile
watu walizani cinema kule mikoani
lakini kule gongo la mboto
hakuna aliyekumbuka viatu wala kumshika mwanae
hakuna aliyekumbuka mume wala kumbusu mkewe
najua tanzania tunavuma kwa ukarimu na upole japokua ni masikini
lakini uisikia 'puumuuu' ujue kimeshatokew gongo la mboto
tudhihirishe ukarimu wetu na kuitolea gongo la mboto
mungu ibariki gongo la mboto
poleni wale usiku hatujalala
wale mabomu yamewapa madhara
yalosababisha maafa viro hasara
mpaka sasa hawana pakulala
watoto bado njaa hawajala
tuzidishe uda na maombi nyingi sala