diamond platnumz
ah! usinione nalia
moyoni naumia
kila siku maugomvi
unanukia mabia
ina maana unataka usema
huu moyo wangu hatambui
thamani ya mapenzi
ndo imegeuka kuwa uadui
nikakuimbia nyimbo bado
nkakupa moyo bado
nikakupa life
na true love
ila baby bado
ukose raha
kisa
kupendwa nawe
kwanini ukose raha?
nishachoshwa na haya mapenzi
visa mara mia kwa mwezi
mara leo limekwisha hili
kesho kutwa tena ghafla limezuka tena jingine
choshwa na haya mapenzi
leo limekwisha hili
kesho lingine eh!
you just don't know
naumia umia umia umia umia
eeeh ah!
you don't know
hiiiii. ukose raha