mbagala

diamond platnumz

busara na upole

na hekima nilorithi kutoka kwa mama yangu

mama

vyote haukuvijali

ukaona silingani kabisa kuwa na wewe

ka kuti na mkole

ukakata kabisa na shina la penzi langu nana

eti kisa mali

ukaona bora uniache mimi na uolewe

ile siku shekhe namuona anachoma ubani

unavishwa pete unakuwa mke wa fulani

nliumia sana

sana

ile siku shekhe namuona anachoma ubani

unavishwa pete unakua mke wa fulani

niliumia sana

niliumia sana

sana

tatizo kwetu mbagala

hapa nyumba mbele jalala

tatizo kwetu mbagala

ukaona mapenzi siwezi

tatizo kwetu mbagala

hapa nyumba mbele jalala

tatizo kwetu mbagala

ukaona mapenzi siwezi

ungejua jinsi gani

machozi nlolia kwa uchungu wa penzi langu na

mwenzio jinsi gani

vile nimeumia moyoni

hata kupendwa sitamani

utamu wa mapenzi mwenzako umekula kwangu ma

mwenzio sitamaani

hata raha tena mi sioni

ah naskia hivi sasa una mtoto anaitwa mamu

vile akinuna mpaka atabasamu

mmefanana sana

sana

mi mwenzako tena mapenzi mi sina hamu

tena na mpango wa kuhama dar es salaam

nataka niende mbali

niepuke vita na walimwengu

mi mwenzenu siwezi

tatizo kwetu mbagala

hapa nyumba mbele jalala

tatizo kwetu mbagala

ukaona mapenzi siwezi

tatizo kwetu mbagala

hapa nyumba mbele jalala

tatizo kwetu mbagala

ukaona mapenzi siwezi

nasema mbagala

mbagala

mbagala aa aaha

mbagala

ukaona mapenzi siwezi

nasema mbagala

mbagala

mbagala ee eh

mbagala

ukaona mapenzi siwezi

tatizo kwetu mbagala

hapa nyumba mbele jalala

tatizo kwetu mbagala

ukaona mapenzi siwezi

tatizo kwetu mbagala

hapa nyumba mbele jalala

tatizo kwetu mbagala

ukaona mapenzi siwezi

Full Lyrics: mbagala - diamond platnumz