nataka kulewa
Singer:diamond platnumz
kama ni pesa we kunywa nitanunua
ninayetunza wenzangu wanachukua
yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
walionikuta waniache nisemee jina
yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
nikamvisha na pete kwa kumuoa
vya wazushi wanafiki wanaomponda
mabuzi ving'asti wengine anawahonga
yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
walionikuta waniache nisemee jina
yalinifanya kama mtoto nilie vibaya