ukimwona

diamond platnumz

mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu

yashanipiga sasa sinabudi nielewe

siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu

japo nishida ila

nitabaki mwenyewe

ohh ila

mpe shukrani kwa kuniumiza suraya

mwambie mi bado mahututi nauguza kidonda changu

na asisikie kisirani

hukumu ya mapenzi mabaya

hata ungali hai kayruki usingetibu gonjwa langu

kutwa nzima moyo unanidunda dunda

sina amani nasaga rumba

ohh unani dunda dunda

sema chine tembee moyoo

unanidunda dunda

sina amani nasaka rumba

ohh unani dunda dunda

eeeeeeehhhhhhhhhh ukimwona

ukimwona ukimwona

ukimwona ukimwona

ukimwona

we nenda mwambie marafiki

marafiki wabaya

tena wengi waongo

hawawazi ndanganye

oya ni mashoga rafiki

oohh marafiki wabaya

oooohhhh mmmmmhhh

tatizo mi bado

nilipoteleza nkakosa sipajui

mpaka akafunga virago

na akaamua kuondoka sitambui

ubaya

kinacho niumiza

maneno neno maneno

mara kwa ndugu rafiki

kwanini anawapa misemo

najaribu papasa

mbona ka macho ataona chochote

ila ndo kutwa mikasa

na nazidi kuanguka

niokote

kutwa nzima moyo unanidunda dunda

sina amani nasaga rumba

ohh unani dunda dunda

sema chine tembee moyoo

unanidunda dunda

sina amani nasaga rumba

ohh unani dunda dunda

eeeeeehhhhhhhhhh ukimwona

ukimwona ukimwona

ukimwona ukimwona

ukimwona

Full Lyrics: ukimwona - diamond platnumz